HomeRadio Vaticana
foto testata  

Categories


  Charity & Solidarity


  Church


  Culture & Society


  Vatican Documents


  Synod


  Ecumenism


  Family


  Youth


  Justice & Peace


  Politics


  Religion & Dialogue


  Science & Ethics


  Audiences
   & Angelus



  Pastoral visits


cx_t12

CTV - You tube

CTV

 home > Justice & Peace > news


27/10/2010 11.31.06



Wahukumiwa adhabu ya kifo nchini Kenya kwa mauaji ya Padre Bertaina






Mheshimiwa Padre Franco Cellana, Mkuu wa Shirika la Waconsolata Kanda ya Afrika Mashariki, aliyekuwa anafuatilia kwa makini kesi ya mauaji ya Padre Giuseppe Bertaina yaliyotokea tarehe 16 Januari, 2009, Jijini Nairobi, Kenya, anasema, wao wamewasamehe watuhumiwa dhambi zao, lakini sheria inapaswa kuchukua mkondo wake baada ya ufanisi mkubwa katika uchunguzi na hatimaye, watuhumiwa kutiwa mbaroni.

Felix Savayi Kwesha na Mabel Kavati, tarehe 22 Oktoba, 2010, Mahakama iliwatia hatiani na hivyo kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa. Kanisa Katoliki katika mafundisho yake Jamii, linapinga adhabu ya kifo, kwani inakwenda kinyume na haki msingi za binadamu.


  « back to index

 




















Related categories


Page précédente  Previous page
Page d'accueil  Home Page
Ecrire à la rédaction  Contact us
top
top
All the contents on this site are copyrighted ©. Webmaster / Credits / Legal Conditions
top
top